mashine 138 za kamari zawachina mbaloni



Wachina hao wamekamatwa mkoani Dodoma walikokuwa wakisambaza mashine hizo bila ya kibali na pia Wanatuhumiwa kutoa rushwa ya shilingi milioni 1 kwa Askari wa Jeshi la Polisi ambao pia.inaripotiwa kukamatwa

chanzo jamii forum

Comments

Popular posts from this blog

Rangi za plate namba na maana zake Tanzania

Ijue zaidi biashara ya juice

Namna unavyoweza kutengeneza biashara kubwa kwa kuanzia mtaji mdogo wa shilingi 10000