Posts

Showing posts from May, 2019

FURSA YA KAZI KWA WATANZANIA WOTE

Image
TUWEMACHO ENTERPRISES   COMPANY Ni kampuni mpya inayofanya kazi ya kuuza bidhaa kote nchini katika maeneo yote ya Tanzania, inatoa fursa ya kuwaajili mawakala watakaofanya kazi pamoja na kampuni kutoka sehemu na pande zote za nchi katika maeneo yao bila kuacha shughuri zao za kila siku. Kampuni inahitaji wakala mmoja kila wilaya kwa wilaya ndogo na wawili kwa wilaya kubwa watakaofanya kazi na kampuni. Baada ya kutuma maombi na kufanyiwa udaili wa taarifa zake kama ni sahihi atahitaji kujaza mkataba na kampuni wa kufanya kazi na kampuni yetu. Bidhaa zinazouzwa na kampuni ni pamoja na Kompyuta                    Simu                 TV                    baiskeli          ...