FURSA YA KAZI KWA WATANZANIA WOTE
TUWEMACHO ENTERPRISES
COMPANY
Ni
kampuni mpya inayofanya kazi ya kuuza bidhaa kote nchini katika maeneo yote ya
Tanzania, inatoa fursa ya kuwaajili mawakala watakaofanya kazi pamoja na
kampuni kutoka sehemu na pande zote za nchi katika maeneo yao bila kuacha
shughuri zao za kila siku. Kampuni inahitaji wakala mmoja kila wilaya kwa wilaya ndogo na wawili kwa wilaya kubwa watakaofanya kazi na kampuni.
Baada
ya kutuma maombi na kufanyiwa udaili wa taarifa zake kama ni sahihi atahitaji kujaza
mkataba na kampuni wa kufanya kazi na kampuni yetu.
Bidhaa
zinazouzwa na kampuni ni pamoja na
Kompyuta Simu TV baiskeli pikipiki
Nguo viatu mabegi furniture vifaa
vya umeme
Magari (used) vitabu
spea n.k
Kazi
za wakala zitakua
Usajili wa mawakala utahusisha
mambo yafuatayo
a.
namba ya kitambulisho (mpiga kura/taifa).
b.
passport moja juu ya barua.
c.
uthibitisho wa mwenyekiti na afisa mtendaji.
Vigezo
Barua ya maombi inapatikana kwa kutuma neno NITUMIE BARUA YA MAOMBI
kwa namba iliyoainishwa hapo chini.
Mwisho wa maombi tarehe 30/08/2019
Mawasiliano
yatakayotumika kutuma maombi
Simu whatsapp: +255762125819.
Email: audaxdenis@gmail.com.
Ni muhimu sana kuzingatia tarehe ya mwisho
ReplyDelete