Posts

Showing posts from April, 2019

FAIDA YA NGUVU ZILIZOMFUFUA YESU

Bwana Yesu asifiwe milele! Faida nyingine unayotakiwa kunufaika nayo unapokuwa unazo ndani yako, nguvu zilizomfufua Yesu ni hii: *“Imani uliyonayo kwa Mungu, katika Yesu Kristo, na katika neno lake – inapata uhai na inakuwa na uwezo wa kuzaa”!* Hii ni kwa sababu biblia inasema “tena kama Kristo hakufufuka, basi, kuhubiri kwetu ni bure na Imani yenu ni bure” (1 Wakorintho 15:14). Hebu oanisha maneno ya mstari huu na maneno ya mistari hii: “Imani isipokuwa na matendo, imekufa nafsini mwake” (Yakobo 2:17). “Lakini wataka kujua, wewe mwanadamu usiye kitu, kwamba imani pasipo matendo haizai?” (Yakobo 2:20). “Maana kama vile mwili pasipo roho umekufa, vivyo hivyo na imani pasipo matendo imekufa” (Yakobo 2:26). Imani uliyonayo kwa Mungu katika Kristo, na katika neno lake inatakiwa iwe hai! Imani yako hiyo isipokuwa hai ndani yako ni bure…yaani inakuwa haina faida kwako, wala msaada wowote kwako! Ina maana ni imani usiy...

FAIDA YA NGUVU ZILIZOMFUFUA YESU

Bwana Yesu asifiwe milele! Faida nyingine unayotakiwa kunufaika nayo unapokuwa unazo ndani yako, nguvu zilizomfufua Yesu ni hii: *“Imani uliyonayo kwa Mungu, katika Yesu Kristo, na katika neno lake – inapata uhai na inakuwa na uwezo wa kuzaa”!* Hii ni kwa sababu biblia inasema “tena kama Kristo hakufufuka, basi, kuhubiri kwetu ni bure na Imani yenu ni bure” (1 Wakorintho 15:14). Hebu oanisha maneno ya mstari huu na maneno ya mistari hii: “Imani isipokuwa na matendo, imekufa nafsini mwake” (Yakobo 2:17). “Lakini wataka kujua, wewe mwanadamu usiye kitu, kwamba imani pasipo matendo haizai?” (Yakobo 2:20). “Maana kama vile mwili pasipo roho umekufa, vivyo hivyo na imani pasipo matendo imekufa” (Yakobo 2:26). Imani uliyonayo kwa Mungu katika Kristo, na katika neno lake inatakiwa iwe hai! Imani yako hiyo isipokuwa hai ndani yako ni bure…yaani inakuwa haina faida kwako, wala msaada wowote kwako! Ina maana ni imani usiy...

1.FAIDA YA NGUVU ZILIZOMFUMFUA YESU

Hili ni somo lililofundishwa Na Mwl Mwakasege nakuletea ujifunze kitu naanza Na sehemu ya kwanza Bwana Yesu asifiwe milele! Je umeokoka? Ikiwa umeokoka, ujue basi ya kuwa, nguvu za Mungu zilizomfufua Kristo toka kwa wafu, zimo ndani yako! Nguvu hizi zimebebwa na Roho Mtakatifu aliye ndani yako! Hii ni kwa sababu imeandikwa hivi “lakini ikiwa Roho yake yeye aliyemfufua Yesu katika wafu anakaa ndani yenu yeye aliyemfufua Kristo Yesu katika wafu ataihuisha na miili yenu iliyo katika hali ya kufa, kwa Roho wake anayekaa ndani yenu” (Warumi 8:11). Je, unajua faida kwa ajili yako – sasa wakati huu – yaani katika ulimwengu huu, kwa nguvu za Mungu zilizomfufua Kristo kukaa ndani yako? Na kama unazijua – je; unazitumia na kufaidika kwa kiwango kipi katika maisha yako? Hebu tafakari faida chache zifuatazo: *Faida 1: Nguvu zilizomfufua Yesu zilizomo ndani yako zinakupa uwezo wa kukusaidia kubadili mfumo na kiwango chako cha kufikiri!...* ili uwe na mawazo yaliyo ...

USAJILI MPYA WA LAINI

Image
Mitandao ya simu imetoa taarifa za kusajili laini yako upya kwa mfumo wa vidole soma hapo chini

Matendo ya mpasayo kutenda au kuacha kwa muislamu (akhlaq)

Matendo ya mpasayo kutenda au kuacha muislamu [Moral obligations ( akhlaq )] Hizi ni sharia ambazo kila muislam azitimize, na sharia hizi zinaelekea kufanana na za kitabu cha agano la kale. Baadhi ya sharia kama kutokuua, kutokuiba, kutokushuhudia uongo zote pia zinapatikana katika quran na kitabu cha agano la kale, mfano wa sharia zile zinazo patikana kwenye sura 17:31-39 zimebeba maneno mengi yanayopatika kweneye agano la kale. Ili tendo lolote kuhukumiwa ni zuri au baya linategemea taratibu zilizowekwa ambazo zimegawanyika katika makundi mawili; zile ambazo ni nzuri yaani zinazoonesha unyeneyekevu wa mwanadamu kwa Mungu nazo huitwa mar’ufat na zile mbaya zinazoonesha uasi wa mwanadamu kwa Mungu hizi huitwa munkarat. Sehemu hiyo ya kwanza bado huigawa katika sehemu nyingine tatu: 1.       Fardh: haya ni yale matendo ya lazima kwa kila muislamu kama kujitimiza nguzo tano za uislam hapa mtu ataadhibiwa kwa kutokuzifuata na kufuata mafundisho ya uislam...

Umekua ukiwaza juu ya mafanikio yako? jifunze jambo hapa

Mafanikio ni nini? Nimekaa nakuwaza kwanini kila mmoja anataka kuafanikiwa? haijalishi watu wote hutamani kufanikiwa lakini waliofanikiwa bado si kila anaetaka kufanikiwa yaani leo huyu kafanikiwa huyu kaachwa na yawezekana wote walikua wanapambana kwa pamoja au yawezekana walifanya aina moja ya shughuri lakini katika suala la kufanikiwa huyu yuko juu huyu bado analia.  kuna vitu kadha nataka nikushuhudie utaviangalia kwa mda wako utagundua jamboleo naanza na jambo moja  MARAFIKI Kati ya vitu ambavyo hujui vimekuweka hapo ulipo na kukufanya uwaze au usiwaze zaidi ufanikiwe au uzidi kua wakulialia  ni aina ya marafiki unaowashikilia na namna unavyoishi nao. Unaweza kusema huyu anajaribu kusema nini hebu endelea kusoma nikupe ushuhda utakusaidia kufungua akili yako ujue kua ninachokwambia kina ukweli ndani yake.  katika ulimwengu wa marafiki kuna aina tofauti tofauti zaidi ya kumi,  leo nitakupa aina mbili tuu za marafiki siku nyingine nitakupa ...

jifungulie akaunti yako mpya ya kijanja

Image
Kama ulikua unaona watu wakimiliki akaunti kama Gmail,Hotmail,Yahoo n.k nawewe umekua ukihitaji kufungua moja wapo kati ya hizo lakini umekua ukishindwa usijali leo nakuwekea njia rahisi ya kufungua akaunti yako binafsi. Hii inawezekana kwa kutumia sever za bure kabisa. LEO tutafungua HOTMAIL ACCOUNT ILI kufungua hotmaili akaunti kwanza ingiza hiyo anuani (url) hii  https://outlook.live.com/owa/  itafunguka kama inavyoonekana hapo chini Baada ya kufunguka BOFYA  hapo kwenye create account  ikifunguka itakua na muonekano huu hapo chini      ili kutengeneza akaunti yenye muonekano wa HOTMAIL itakulazimu kabadilisha kwa kubofya sehemu niliyozungushia hapo kwenye picha nakuchagua hotmail   halafua unaingiza jina unalotaka kutumia kama email username yako  mf: audaxdenis unabofya next itafunguka kuleta sehemu ya kuweka password utajaza password zako unazotaka kutumia wakati wa kuingia kweneye email yako kama inavyonekan...

History of psychology

History of psychology Issues relating to human behaviour have been of concern to human beings since the beginning of history. For a long time people have tried to address the mind –body problem, and yet they have not come up with a complete satisfactory answer. Matters relating to behaviour have been a subject matter in theology and philosophy (refer to the books of religion and writings of philosophers such as Plato and Socrates). Psychology as an independent field started in 1879 when Wilhelm Wundt established a laboratory (read scientific approach) at Leipzig to study the structure of the mind (a subject matter of psychology). He wanted to find the basic elements of thinking, consciousness and other mental functions. Before then most of these issues related to behaviour had been based on speculation. So, the psychology is acknowledged to have been started in that year because of the use of scientific method to describe a psychological phenomenon. Now we let us look at differ...

Objectives of psychology

Objectives of psychology in education perspective and general view There are four objectives of studying psychology, namely to describe behaviour, understand behaviour, predict behaviour and to control behaviour. Describe : the first objective of psychology is to describe how behaviour occurs. Understand : the second objective is to determine the causes of behaviour. Predict : after describing and understand the causes of behavior we are able to predict how one will behave under certain conditions. Control : the forth objective of psychology is to influence the behaviour of individuals.    As a teacher you like to know what somebody is doing and how is doing it (describe); then know why is s/he acting like that (cause); will s/he do the same in the future (predict)?; and finally what can be done to maintain/eliminate the behaviour (control).

Main areas of Psychology

Main areas of Psychology Human behaviour is very broad with many components that are affected by many variables. So as to manage to understand the content of psychology, it is divided broadly into four main areas, namely  physical cognitive emotions  environment . Physical aspect is the body of the individual i.e. muscles, skeleton, glands and sensory systems. This implies that biological processes have influence on our behaviour e.g. hunger makes us to look for food and eat (behaviour); females can bear children while males cannot, and writing involves coordination of eyes and muscles in the arm. The area of cognitive in psychology focuses on mental activities that include memory, thinking, problem solving and language. (You know that brain is part of the physical body, thus there is a connection between body and cognitive processes). Cognitive component is responsible for the understanding of us and the environment, which results in capabilities and be...

Meaning of psychology

Meaning of psychology In short, the subject matter of psychology is behaviour and mental processes. But there are other many fields including political science, religion, astrology, witchcraft, fortune telling, literature, economics, law and sociology (just to mention a few) that deal with human behaviours. Psychology is different from these other fields since it uses scientific approaches in studying behaviour and mental processes. So, psychology is the scientific study of behaviour and mental processes.

download swahili-english dictionary for pc

bofya kwenye link hiyo hapo chini http://www.mediafire.com/file/e315sxfcztf7u7c/Swahili_Dictionary_Setup.exe/file